SHUKRANI za
pekee kwa mmiliki na Wafanyakazi wa Kampuni inayomiliki basi hilo ya Adventure
kwa kuwa na matengenezo ya mara kwa Mara ya basi zake.
|
UTULIVU..
Uzoefu na
uendeshaji salama wa kujihami wa Dereva@Mwanashija na utulivu wa abiria umefanya
kusiwe na madhara zaidi kwa kuwa speed haikuwa kubwa na hakuyumba toka kuanzia
tatizo la gari.
Taarifa
zaidi kutoka eneo la tukio zinaeleza kuwa abiria wametoka wote salama na
wameshapata usafiri mbadala na kuendelea na safari.
|
No comments:
Post a Comment