Katika
mchezo huo wa Kiporo wa May 17,2017 ambao Real Madrid ilichomoza na ushindi wa magoli 4 kwa 1 dhidi ya
klabu ya Celta Vigo, mchezaji huyo alitupia goli moja kati ya hayo, sasa Real Madrid
inahitaji sare yoyote katika mchezo wake wa mwisho wa ligi wakatapo kutana na
klabu ya Malaga jumapili hii ya May 21,2017 , ili kujitangazia Ubingwa wa Ligi 2016/2017.
|
Mahasimu wao
klabu ya FC Barcelona watalazimika kushinda katika mchezo wao wa mwisho wa
nyumbani dhidi ya klabu ya Eibar ili kumtia presha zaidi kocha wa Real Madrid, Zinedine
Zidane, na kama mpaka ligi ikimalizika na klabu hizi kulingana alama basi Barca
itakabidhiwa kombe, hii ni kutokana na namna Madrid alivyofungwa zaidi na Barca
timu hizi zilipokutana, hivyo Barca itakuwa inachukua ubingwa huu mara ya 3
mfululizo.
Katika
Mchezo wa hapo Juzi May 17,2017 Real Madrid ilionekana kuzidiwa licha ya Ushindi
walioupata.
|
Maneno ya
kocha wa Real Madrid Zinedine Zidane.
‘Sijiskii
kama vile tumeshakuwa mabingwa hapana bado
“Tumesalia
mchezo mmoja lakini siku ya leo ilikuwa muhimu sana . Tunafahamu ni ni
tunahitaji kufanya . Tunahitaji kujiandaa vyema na kujiweka sawa kuanzia leo”.
Goli la 367,
la Cristian Ronaldo katika mchezo wao na Celta Vigo uliomalizika kwa matokeo ya
4 kwa 1.
|
No comments:
Post a Comment