Nao Mabingwa
Watetezi Leicester City sasa wameanza kujihakikishia usalama wao kubaki EPL
baada kupata ushindi wao wa 4 mfululizo
kwenye EPL, ikiwa ni Rekodi kwa Meneja wao Craig Shakespeare ya kuwa Meneja wa
kwanza Mwingereza kushinda Mechi zake 4 kwanza za EPL.
Leo
Leicester wakiwa kwao King Power Stadium waliifunga Stoke City 2-0 kwa Bao za
Wilfred Ndidi na Jamie Vardy.
Huko Old
Trafford, Man United walitoka 0-0 na West Bromwich Albion.
|
Nao Liverpool iliongezea matumaini ya kuendelea kusalia katika kundi la
timu nne bora baada ya kuwatandika Everton mabao 3-1 katika Champions League.
Sadio Mane
aliwapa Liverpool bao la mapema kufuatia ushirikiano mzuri na Roberto Firmino.
Bao la pili
lilifungwa na Philipe Coutinho baada ya kuwabwaga wachezaji wawili wa Everton.
EPL –
Ligi Kuu England
Ratiba:
Jumapili
Aprili 02,2017.
1530 Swansea
City v
Middlesbrough
1800 Arsenal
v Manchester
City
MSIMAMO WA EPL -2016/2017.
|
No comments:
Post a Comment