“Haiwezekani
Watanzania wanakosa dawa hospitali wakati dhahabu zao zinaondoka, Watanzania
wanakosa maji wakati dhahabu zao zinaondoka, Watanzania wanakosa umeme wakati
dhahabu zao zinaondoka, Watanzania wanakosa barabara wakati dhahabu zao
zinaondoka, nataka ukakague kwa kina hii sekta ya madini ili watanzania wajue
chao nini na kama kinapatikana sawasawa?”;- Rais Magufuli.
“Waziri Mkuu
ukaongoze hicho kikao na wewe CAG uwaambie kila mmoja katika eneo lake juu ya
dosari zake, sitaki kuona dosari zinajirudia zilezile kila wakati”;-Rais
Magufuli.
Kwa mujibu
wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, CAG anapaswa kuwasilisha ripoti
ya hesabu za Serikali kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kabla ya
tarehe 31 Machi ya kila mwaka, na baada ya hapo ripoti hiyo huwasilishwa
bungeni katika kikao kinachofuata.
Gerson
Msigwa
Mkurugenzi
wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Dar es
Salaam
27 Machi,
2017.
HAPA CHINI TAZAMA VIDEO MAZUNGUMZO YA RAIS WAKATI WA HAFLA HIYO YA KUIPOKEA RIPOTI.
|
Monday, March 27, 2017
Haya Ndio Maagizo ya Rais Magufuli Baada ya Kuipokea ripoti ya CAG -March 27,2017.
Tags
# HABARI
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
HABARI
Labels:
HABARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment