Ushindi huo
unaifanya Yanga SC iendelee
kujichimbia kileleni mwa msimamo wa ligi kuu baada ya kufikisha pointi 49 wakiwa
wameshacheza mechi 21 pointi nne mbele ya watani wao wa jadi Simba SC wenye pointi 45 wakiwa
wamecheza mechi 20.
Simba SC watacheza kesho Jumamosi February 04
dhidi ya Majimaji FC , kama
watashinda mechi hiyo gape litaendelea kusalia pointi moja lakini matokeo ya
sare yatafanya Simba SC kuwa nyuma
kwa pointi tatu na wakipoteza mechi hiyo watakuwa wameachwa kwa pointi nne.
Msimamo wa ligi kuu Tanzania bara
baada ya mechi ya Yanga SC vs Stand United.
|
Friday, February 03, 2017
VPL 2016/2017: Yanga SC yalipa kisasi cha goli 4-0 kwa Stand United .
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment