Shiza Kichuya aliingia kipindi cha pili akichukua
nafasi ya Novalty
Lufunga katika dakika ya 51, wakati huo Simba ikiwa imeshatulizwa
kwa goli moja lililofungwa kwa mkwaju wa penati na Simon Msuva wa Yanga SC katika dakika ya tano ya mchezo huo.
Tangu
kuingia kwa Kichuya
mchezo ulionekana kubadilika na mashambulizi kugeukia katika goli la
Yanga SC na katika dakika ya 67
alipiga krosi ambayo ilimkuta Mrundi, Laudit Mavugo ambaye alipiga kichwa kilichoingia
moja kwa moja nyavuni na mchezo kuwa ni goli moja kwa moja kwa kila upande.
Mpaka
mwamuzi Mathew Akrama
wa Mwanza anapuliza filimbi ya kuashiria kumalizika kwa dakika tisini za mchezo
huo Simba SC ambayo ndiyo ilikuwa
mwenyeji wa mchezo ikiwa na magoli mawili na Yanga SC ikiwa na goli moja.
Ushindi wa Simba SC dhidi ya watani wao wa jadi Yanga SC umewawezesha kuzidi kupaa
kileleni katika msimamo wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kwa kufikisha alama 54 na
kuwaacha Yanga SC kwa alama tano
nyuma yao ambao wao wanazo alama 49 huku wakiwa na mchezo mmoja mkononi.
|
Ratiba/Mat
okeo:
Jumamosi Februari 25,2017
Simba 2
Yanga 1
Jumamosi Machi 04,2017
Simba v
Mbeya City
Ndanda FC v
Ruvu Shooting
Toto African
v Mbao FC
Azam FC v
Stand United
Kagera Sugar
v Maji Maji FC
Jumapili Machi 05,2017
Mtibwa Sugar
v Yanga
African Lyon
v Mwadui FC
|
No comments:
Post a Comment