Kauli hiyo
ameisema Jana February 25,2016, wakati alipoulizwa swali na wanahabari
kuhusiana na taarifa zinazosambaa mitandaoni ya kuwa msanii huyo amekamatwa na
jeshi la polisi kwa tuhuma za makossa ya kimtandao.
Wakati
huohuo, Kamanda Sirro amezungumza na wanahabari kuhusiana na watu humiwa 257 waliokamatwa jijini Dar es Salaam
kwa makossa ya madawa ya kulevya kwa kipindi cha Februari 16 hadi 23 mwaka huu
kutokana na oparesheni iliyofanyika hadi sasa.
|
Kamishna wa
Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Simon Sirro akizungumza na wanahabari
(hawapo pichani).
Alieleza
kuwa, jumla ya kete 1526 za madawa ya kulevya aina ya Heroin zilikamatwa huku
puli zikiwa 112 na misokoto ya Bangi 247 pamoja na pombe haramu aina ya gongo
lita 372.
|
No comments:
Post a Comment