Moja ya ajali ya Lori la mizigo ambayo ilitokea hivi karibuni katika mteremko wa Rusumo,wilayani Ngara mkoani Kagera eneo la Machinjioni -barabara ya Benaco/Rusumo-Rwanda.
|
Mkuu wa
Jeshi la Polisi wilayani Ngara,Mkoani Kagera, Bw Abeid Maige akizungumza na Mtandao huu anasema kuwa..’’
matukio ya ajali ya magari kuanguka na watu kupoteza maisha ikiwa ni pamoja na hasara
kwa wamiliki wa vyombo vya usafiri, ajali hizo zinatokea zaidi mteremko wa
kasharazi, Rusumo, Nakatunga, Kumuyange,
Kanazi na maeneo mengine ambapo
changamoto kubwa ni Madereva kutoku makini,kwenda mwendo wa kasi na kutozitii sharia
na alama za usalama barabarani.
|
No comments:
Post a Comment