Nje ya
ukumbi wa Bunge, Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto
Kabwe, amesema wamefikia hatua hiyo kuonesha kuwa uataratibu unaotumiwa
kukamata wabunge wakiwa bungeni siyo sahihi, na kwamba kesho wataendelea na
vikao vya bunge lakini mapambano yataendelea.
“Kesho
tunarudi bungeni, lakini mapambano yataendelea, tunataka kuonesha kuwa
utaratibu huu wa kuvizia wabunge kwenye milango ya bunge bila taarifa rasmi ya
Spika na bila kuwaeleza wabunge sababu za kukamatwa kwao siyo sawa. Tukilifumbia
macho litakuwa kumtokea mbunge yoyote hata wa CCM” Amesema Zitto.
Bofya Hapa
chini Kutazama Video ya kile kilichotokea Bungeni Leo February 07,2017.
|
Tuesday, February 07, 2017
Home
SIASA
VIDEO:Wabunge wa Upinzani Tanzania watoka Nje ya Bunge kisa kukamatwa kwa Mbunge Tundu Lissu.
VIDEO:Wabunge wa Upinzani Tanzania watoka Nje ya Bunge kisa kukamatwa kwa Mbunge Tundu Lissu.
Tags
# SIASA
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
SIASA
Labels:
SIASA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment