MOORLAND PREMIER HOTELS LIMITED
CCM/MURGWANZA ROAD – NGARA
S. L. P 223
NGARA – KAGERA
NORTH WESTERN OF TANZANIA
Email: mphngara@gmail.com
Simu: +255 787 370 633/786 803 878/754 979 868/758 421 849
01/05/2016
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
(26)
Moorland
Premier Hotels and Tours Limited ni Hotel Mpya na ya Kisasa inayotaraji wa Kufunguliwa
rasmi ndani ya mwaka huu wa 2016 Msimuwa Mavuno (Fiesta time).
Iko katika hatua
za mwisho kukamilika na inatarajiwa kutoa ajira za kudumu na za muda kwa wazalendo
na wageni wasiopungua arobaini (40) ndani ya Wilaya ya Ngara na njeya Wilaya.
Hotel
ipo Wilayani Ngara Karibu na Kituo Cha Police/Magereza 0.5km Kutoka Barabara kuu
(High way) ya kwenda Kabanga/Burundi Boarder, Ofisi ya CCM, Barabara ya Murgwanza
Hospital, Mkoani Kagera, Kasikazini Magharibi nchini Tanzania.
Uongozi
wa Hotel unapenda Kuwatangazia Nafasi za Kazi Kama ifuatavyo:
1. Hotel
Manager/Meneja wa Hotel - Nafasi (1)
2. Mapokezi/Receiptionist
(2)
3. Wapishi/Cooks
- Nafasi (4)
4. Wahudumu/Bar
& Kitchen Attendants – Nafasi (8)
5. DJ – (Disco Joker/Mchezesha Mziki)
– Nafasi moja (1)
6. Walinzi/Security Guards –
Nafasi Mbili (2)
7. Mtunza Stoo/Store kepeer- Nafasi
Moja (1)
8. Wafanya Usafiwa Ndani/House Keepers/Washers
– Nafasi tano (5)
9. Mfanya usafiwa Mazingira/Garderner
– Nafasi Moja (1)
10. Mhudumu/Attendant M-Pesa
(Vodacom, Airtel Money, Tigo Pesa, NMB, CRDB Bank na RIFARO/Selcom) Wakala – Nafasi
Moja (1)
Waombaji/Muombaji
wawe/awe na sifa zifuatazo Kiujumla:-
· Awe raia wa Tanzania mwenye
umri wa kuanzia miaka kumi na nane (18yrs) na Kuendelea
· Awe na Hati ya Kuzaliwa ya
Tanzania au Kitambulisho cha Makazi yake
· Awe anajua kusoma na Kuandika
Kiswahili, Kiingereza au Kifaransa
· Awe na Elimuya Kuanzia Kidato
Cha nne na Kuendelea
· Awe hajawahi Kuhusika na kesi
ya aina yoyote ya Police ama Kufikishwa Mahakamani
· Awe Tiyari Kufundishwa na Kufundisha
pale inapobidi
· Awe Mbunifu na Mwenye Kujituma
bila kushurutishwa
· Awe Mkarimu/Hospitality kwa
wageni na Mwaminifu kwa Mwajiri wake
· Awe na uzoefu wa kazi kwa nafasi
husika kuanzia Miaka miwili (2) na Kuendelea
· Awe na Vyeti vya Uzoefu Kwenye
Kazi husika, Vyenye anuani na namba za simu au barua pepe za mwajiri wake
sehemu alipofanya kazi au anapofanya kazi kwa sasa
· Awe tiyari Kuwajibika au
kuwajibishwa pale inapobidi
Ngongeza
ya sifa Kwa Nafasi baadhi hapo Juu:
1.
Hotel Manager/Meneja wa
Hotel/ Mapokezi/Receiptionists/Wahudumu/Bar &
Kitchen Attendants
·
Awe Amehitimu
masomo ya utawala wa Hotel na Utalii/Hotel Management and Tour Guides na awe na cheti cha chuo kinachotambulika
·
Awe
amehudhulia Semina mbalimbali za uongozi Shupavu na awe na vidhibitisho.
·
Aliyesoma
masomo ya Komputa na Anaye jua Kutumia komputa atapewa kipa umbele zaidi
2. Wapishi/Cooks
·
Awe Amehitimu
masomo ya utawala wa Hotel na Utalii/Hotel Management and Tour Guides na awe na
cheti cha chuo kinachotambulika.
·
Awe
amehudhulia Semina mbalimbali za Upishi na awe navidhibitisho
·
Awe anajua Kutengeneza
Menu ya Siku, ya wiki na ya Mwezi
·
Awe anajua
kusoma na kuitafsiri Menu kwa wateja/Wageni
3.
Kwa walinzi/Security Guards:
·
Atakaye kuwa na cheti cha kuhitimu mafunzo ya Mgambo au kozi yoyote ya ulinzi
kwenye shule ama chuo kinachotambulika na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania atapewa Kipaumbele
4.
Mtunza Bustani/Garderner:
·
Anayejua Kutumia vizuri na Kutengeneza Mashineya Kukata Nyasi yenye injini
ya Petrol atapewa kipaumbele
5.
DJ – Disco Joker/Mchezesha Mziki:
·
Mwenye Vyeti Vya Chuo Cha sanaa na Utamaduni kilichosajiliwa na BASATA
(Baraza la Sanaa Tanzania) na Kutambuliwa na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na
mwenye uzoefu kazini pia akiwa na Tanzania Driving Licence atapewa Kipaumbele
6.
Mhudumuwa M-Pesa/M-Pesa Attendant:
·
Aliyesoma
masomo ya Komputa na Anaye jua Kutumia komputa atapewa kipa umbele zaidi
Mwenye
sifa zote hapo juu ataitwa kufika kwenye Mchujo/Interview kupitia namba zake za
simu au Barua Pepe atakazo kuwa ametuandikia kwenye barua yake ya maombi.
Gharama
za Usafiri wa kuja na kurudi ulikotoka wakati wa mchujo/Interview Pamoja na za Chakula
na Kulala ni za kwako mwenyewe
Mwisho
wa Kupokea Maombi ni Tarehe 25/5/2016
Saa nne (4:00) Asubuhi
Maombi
yatumwe Kwenye Anuani Tajwa hapo juu, au kwenye baruapepe ya mphngara@gmail.com
au yafikishwe Paradise Hotel/Restaurant
– Nakatunga Ngara (TZ) na ya ambatanishwe na kopi za vyeti vyako vya origino.
Ukituma maombi na ikafika
tarehe 31/05/2016 Kabla haujaitwa au kupigiwa simu kwa namba yoyote kati ya hizo
hapo juu kwenye anuani yetu, Tafadhali usitupigie
simu, tambua kuwa Barua yako na vyeti vyako hatujaridhika navyo.
Moorland Premier
Hotel itakua na masilahi mazuri na malengo mazuri ya kukuza na kuendeleza
vipaji vya wafanya kazi kwa kupitia mafunzo mbalimbali kwa kazi husika.
– Mishahara ni makubaliono baada ya Mchujo. |
Thursday, May 05, 2016
TANGAZO LA KAZI:-Changamkia Nafasi 26 za Kazi wilayani Ngara/kagera.
Tags
# HABARI
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
HABARI
Labels:
HABARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment