Endapo Yanga
SC wakishinda mchezo wao wa kesho watafikisha pointi 39 sawa na Azam FC na
kuongoza tena ligi kwa tofauti ya magoli ya kufunga na kufungwa. Lakini kama
watatoka sare au watafungwa basi watawaachia Azam usukani wa kuongoza ligi.
Leo January
20, 2016 imepigwa jumla ya michezo mitatu ya ligi kuu ya Vodacom Tanzania
Tanzania bara 2015/2016 kwenye viwanja vya
miji tofauti.
Hapa chini
kuna matokeo ya michezo mingine iliyohezwa leo January 20,2016.
Mgambo JKT 1
- 2 Azam FC (Mkwakwani Stadium-Tanga)
Ndanda FC 4 -
1 Mbeya City (Nangwanda Sijaona-Mtwara)
Standa
United 2 - 1 Toto Africans (Kambarage Stadium-Shinyanga)
Tanzania
Prisons 2 - 1 Coastal Union (Sokoine Stadium-Mbeya)
Kesho
itapigwa michezo mingine mitatu kwa ajili ya kukamilisha duru la kwanza la ligi
kuu Tanzania bara ambapo mechi hizo zitakamilisha mechi 15 za kwanza za ligi
msimu huu kisha kupisha ratiba ya michuano ya FA kisha kuanza kupigwa michezo
mingine ya lala salama ya ligi hiyo.
LIGI KUU
VODACOM 2015/2016
Ratiba.
Alhamisi
Januari 21,2016.
Mwadui FC v
Kagera Sugar
African
Sports v Mtibwa Sugar
Yanga SC v
Majimaji
Jumamosi
Januari 22,2016.
Coastal
Union v Yanga SC
Simba SC v
African Sports
JKT Ruvu v
Majimaji
Tanzania
Prisons v Azam FC
Mtibwa Sugar
v Stand United
Mwadui FC v
Toto Africans
Papo kwa Papo >>>> Pata Picha, Habari za Siasa, Kijamii,
Biashara, Muziki na Michezo na Nyingine kwa kujiunga na mimi hapa…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha
kwa WhatsApp .
|
No comments:
Post a Comment