KWA STAILI HII:-Jee ajali za namna hii zitaisha nchini? - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Wednesday, November 18, 2015

KWA STAILI HII:-Jee ajali za namna hii zitaisha nchini?

IMG-20151118-WA0001

Lori lenye kontena ambalo halijafungwa vizuri likiwa barabarani.

Katika hali isiyo ya kawaida, Lori lenye namba za usajili T 498 AHS lililokuwa limebeba kontena katika barabara ya Kilwa, kuelekea barabara ya Bandari/Shimo la Udongo ambalo lilikuwa halijafungwa vizuri na kuonekana kuyumba bila wahusika kuchukua hatua yoyote hivyo linaweza kusababisha hatari kwa watumiaji wengine wa barabara ikiwemo kupelekea ajali.

 Mara kadhaa zimekuwa zikiripotiwa ajali zinazotokana na malori yaliyobeba makontena kuanguka na mengine kudondokea watu na kusababisha uhalibifu wa mali na wakati mwingine vifo.

Je, kwa hali hii kweli ajali za namna hii zitaisha nchini?
IMG-20151118-WA0003

IMG-20151118-WA0006

Dereva akiendelea na safari bila kujali hatari yoyote.
IMG-20151118-WA0009

Safari ikiendelea.

Papo kwa Papo >>>> Pata Picha, Habari za  Siasa, Kijamii, Biashara, Muziki na Michezo na Nyingine kwa kujiunga  na mimi hapa…..FACEBOOK , TWITTER INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp .

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad