![]() |
|
Chopa
iliyompakia Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na
Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, ikipiga misele juu ya uwanja wa
Mkutano, leo Septemba 5, 2015, mjini Tabora na kuwa amefanya mikutano ya
kampeni katika majimbo matano ya mikoa
ya Kigoma na Tabora na kuwawaomba wananchiwa maeneo hayo kuungana na watanzania
wengine wanaopenda mabadiliko kumchagua rais,wabunge na madiwani wa vyama vya
UKAWA ili kurahisisha kazi ya kuondoa kero zinazowakabili.
Akizungumza
katika mikutano hiyo Mh.Lowasa amesema kazi ya kukabiliana na changamoto
zinazoandamana wananchi kwa muda mrefu
iko ndani ya uwezo wake na viongozi wenzake wa ukawa na itakuwa nyepesi
zaidi kama wananchi watatoa
ushirikiano.
Mh.Lowassa
ambaye ameweza kuwafikia wananchi wengi wa vijijini baada ya kuanza kutumia CHOPA
amesema UKAWA imejipanga kikamilifu na kutumia sera zilizoko kwenye ilani ya
kutatua kero nyingi zinazowakabili wananchi kinaachotakiwa sasa ni ushirikiano wa wananchi.
|
![]() |
|
Mgombea
Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),
Mh. Edward Lowassa, akiwasalimia wananchi wa Mji wa Tabora, hapo jana Septemba 5,
2015.
|
![]() |
























No comments:
Post a Comment