Mgombe urais
@EdwardLowassa (Kushoto) Makamu wa Rais Haji Duni na Mgombe urais Zanzibar Mh Maalim Seif #Mkutano Mkuu CHADEMA 2015-Dar es Salaam leo Agosti 04,2015.
MKUTANO Mkuu
wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kwa pamoja wamempitisha kwa
kishindo Bw.Edward Lowassa ,aliyekuwa Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania kuwa
mgombea urais kupitia Chadema na Umoja wa Katiba Ukawa ambaye atapambana na
wagombea wengine akiwemo Dr.John Pombe Magufuli
kutoka CCM kwenye uchaguzi mkuu hapo Octoba 25,mwaka huu..
Mkutano huo
umefanyika katika ukumbi wa Mlimani city Jijini Dar es Salaam leo Agosti
04,2015 na pia umempitisha Mgombea mwenza Bw.Juma
Duni Haji katika kura zilizopigwa kwa kanda kuulizwa na Mwenyekiti wa Taifa
Chadema ,Freeman Mbowe. |
No comments:
Post a Comment