Wafuasi wa Mgombea Udiwani kata ya Rusumo
,wilayani Ngara mkoani Kagera,Bw.Wilbard Mbambara wakiwa na shamrashamra baada
ya kuibuka Mshindi katika kura za maoni zilizofanyika jana Agosti 01,2015. Jana Agosti 01,2015 ilikuwa ni kufa au kupona kwa makada wa CCM wanaowania ubunge wakati wanachama wa chama hicho tawala nchini Tanzania walipopiga kura wilayani kuchagua wagombea kwenye majimbo yao baada ya siku 10 za vikumbo zilizojumuisha kurushiana ngumi, tuhuma za rushwa na malumbano wakati wa wagombea hao kujinadi kwa makada wenzao katika kata mbalimbali za majimbo wanayotaka kugombea. Akizungumza na Mwanawamakonda Blog,Katibu Mkuu wa CCM wilaya ya Ngara mkoani Kagera Bw.Jacob Makune,amesema uchaguzi huo umeenda vyema ambapo wameisha pokea matokeo ya vituo vyote 112 kutoka Matawi 107 na waliotarajiwa kupiga kura ni 50,717,waliopiga kura 32,589,kura zilizoharibika 566 na kura halali ni 32,023. MATOKEO KURA ZA MAONI JIMBO LA NGARA CCM-2015.
1.
Bw.Alex
Rafael Gashaza - kura 10,814.
2.
Bw.Issa Hussein Samma kura - 7,166.
3.
Bi.Hellena
Adrian Ghozi - kura 5,474.
4.
Dr.Philmoni
Sengati – kura 4,363
5.
Mwl. Jerad Muhile – Kura 1866
6.
Bw.Cyprian
Muheranyi – kura 927
7.
Bw.Ladislaus
Bambanza – kura 636
8.
Bw.Wilbard
Eden Ntamahungiro – kura 390
9.
Bw.Joachim
Nchunda – kura 357.
Uchaguzi Mkuu Tanzania umepangwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu,2015.
Pata
Picha, Habari za Kisiasa, Kijamii, Kiuchumi na Michezo kila stori
inayonifikia wakati wowote ukijiunga na mimi kwa kubonyeza…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
|
Sunday, August 02, 2015
Home
SIASA
MATOKEO KURA ZA MAONI JIMBO LA NGARA CCM-2015:-Alex Rafael Gashaza ashinda kwa kura nyingi dhidi ya Issa Husein Samma na Mama Helena.
MATOKEO KURA ZA MAONI JIMBO LA NGARA CCM-2015:-Alex Rafael Gashaza ashinda kwa kura nyingi dhidi ya Issa Husein Samma na Mama Helena.
Tags
# SIASA
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
SIASA
Labels:
SIASA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment