KAMPENI ZA UCHAGUZI 2015:- Picha Mgombea Urais wa tiketi ya UKAWA, Edward Lowassa na ziara ya soko la Tandale Jana August 25, 2015. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Wednesday, August 26, 2015

KAMPENI ZA UCHAGUZI 2015:- Picha Mgombea Urais wa tiketi ya UKAWA, Edward Lowassa na ziara ya soko la Tandale Jana August 25, 2015.

Uzinduzi wa kampeni za UKAWA Kitaifa katika viwanja vya Jangwani Jumamosi hii tarehe 29.8.2015, Hapo jana August 25, 2015, Mgombea Urais wa tiketi ya UKAWA, Edward Lowassa  pamoja na mgombea mwenza, Juma Duni walitembelea sehemu mbalimbali za jiji la Dar es Salaam kujionea na kuzungumza na watanzania wa kipato cha chini ili kuyaelewa matatizo yao. 

Pia walisafiri kwa daladala kufahamu kwa ukaribu changamoto zao za usafiri.

Jumamosi wiki hii Katika uzinduzi wa kampeni ,Wagombea hao wanatarajiwa kueleza suluhisho ya changamoto hizo pamoja na sababu kwanini wananchi wanahitaji kuchagua mabadiliko ifikapo Oktoba 25,2015, Tuko tayari kusimamia na kuongoza mabadiliko.







PAPO KWA PAPO Pata Picha, Habari za  Siasa, Kijamii, Biashara, Muziki na Michezo na Nyingine kwa kujiunga  na mimi hapa…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp  +255789925630. 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad