Uzinduzi wa
kampeni za UKAWA Kitaifa katika viwanja vya Jangwani Jumamosi hii tarehe
29.8.2015, Hapo jana August 25, 2015, Mgombea Urais wa tiketi ya UKAWA, Edward Lowassa pamoja na mgombea mwenza, Juma Duni walitembelea
sehemu mbalimbali za jiji la Dar es Salaam kujionea na kuzungumza na watanzania
wa kipato cha chini ili kuyaelewa matatizo yao.
Pia walisafiri
kwa daladala kufahamu kwa ukaribu changamoto zao za usafiri.
Jumamosi wiki
hii Katika uzinduzi wa kampeni ,Wagombea hao wanatarajiwa kueleza suluhisho ya
changamoto hizo pamoja na sababu kwanini wananchi wanahitaji kuchagua
mabadiliko ifikapo Oktoba 25,2015, Tuko tayari kusimamia na kuongoza
mabadiliko.
|
Wednesday, August 26, 2015
Home
SIASA
KAMPENI ZA UCHAGUZI 2015:- Picha Mgombea Urais wa tiketi ya UKAWA, Edward Lowassa na ziara ya soko la Tandale Jana August 25, 2015.
KAMPENI ZA UCHAGUZI 2015:- Picha Mgombea Urais wa tiketi ya UKAWA, Edward Lowassa na ziara ya soko la Tandale Jana August 25, 2015.
Tags
# SIASA
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
SIASA
Labels:
SIASA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment