Treni ya
abiria ya Deluxe iliyokuwa safarini kutoka Kigoma kuelekea Dar es Salaam
imepata ajali Majira ya jioni leo July 29,2015 katika stesheni ya Kikombo mara baada ya mabehewa
kuacha njia taarifa zinasema hakuna aliyepoteza maisha
Taarifa
zaidi tutawajuza kadri tunavyozipata.
Picha kwa hisani ya Josephat Lukaza.
Pata
Picha, Habari za Kisiasa, Kijamii, Kiuchumi na Michezo kila stori
inayonifikia wakati wowote ukijiunga na mimi kwa kubonyeza…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
|
Wednesday, July 29, 2015
PICHA / AJALI:-Treni ya Deluxe iliyokuwa inatoka kigoma kuja Dar imepata ajali.
Tags
# HABARI
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
HABARI
Labels:
HABARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment