Bendi maarufu ya muziki wa dansi
barani ulaya Ngoma Africa band maaruka kama FFU-Ughaibuni au viumbe wa ajabu
Anunnaki Alien's inayoongozwa na kamanda Ras Makunja,bendi hiyo yenye makao
yake kule ujuerumani ,Juzi July 26,2015 iliuhakikishia ulimwengu tena kuwa mziki wao ni moto
wa kuotea mbali! bendi hiyo ilifanikiwa kwa mara nyingine kuyafunika maonyesho
ya kimataifa ya International African Festival-Tübingen 2015,yaliofanyika
katika viwanja vya Fest Platz,jijini Tübingen,Ujerumani.
Bendi hiyo ilipanda jukwaani majira
ya saa 4.00 usiku huku uwanja huo ukiwa umezungukwa na ulinzi mkali ! kamanda
Ras Makunja akikiongoza jukwaani kikosi chake kilichoshamili vijana wa kazi
akina Afande Mo Benda (Soloist) Sajent JoJo Sousa(Drumer) Kopro.
Aj Nbongo
(Bass) kijana Liga (Rhthym guitar) madansa Jessica Ouyah na Sarah Fina kikosi
hiko kilifanya show la kukata na shoka siku ya jumamosi 26 Julai 2015.
wapitie at
www.facebook.com/ngomaafricaband wasikilize at
|
Wednesday, July 29, 2015
Home
WASANII
NGOMA AFRICA BAND:-Hii ndio Taswira Picha walivyofunika INTERNATIONAL AFRICAN FESTIVAL TÜBINGEN 2015.
NGOMA AFRICA BAND:-Hii ndio Taswira Picha walivyofunika INTERNATIONAL AFRICAN FESTIVAL TÜBINGEN 2015.
Tags
# WASANII
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
WASANII
Labels:
WASANII
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment