BREAKING NEWS:-Treni yagongwa na basi la "DONT WORRY" la Ua na Kujeruhi huko Malolo nje kidogo ya mji wa Tabora mkoani Tabora. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Monday, July 27, 2015

BREAKING NEWS:-Treni yagongwa na basi la "DONT WORRY" la Ua na Kujeruhi huko Malolo nje kidogo ya mji wa Tabora mkoani Tabora.


Tumepokea taarifa leo hii Julai 27,2015 ya treni kugongwa na bus la "DONT WORRY" huko Malolo nje kidogo ya mji wa Tabora mkoani Tabora na Mara ya kwanza tuliambiwa kuna vifo vinne ila hatuna uhakika na idadi hiyo twasubiri uthibitisho.

Tutakuletea taarifa zaidi.


Pichani juu na chini ni muonekano wa basi hilo likiwa limeharibika baada ya treni kugongwa na bus la "DONT WORRY" huko Malolo nje kidogo ya mji wa Tabora mkoani Tabora leo Julai 27,2015.


Pata Picha, Habari za Kisiasa, Kijamii, Kiuchumi na Michezo kila stori inayonifikia wakati  wowote ukijiunga na mimi kwa kubonyeza…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad