![]() |
|
Polisi wa
Kenya wakikaribia majengo ya chuo cha Garissa kwa uangalifu mkubwa.
|
![]() |
|
Wananchi wa
Garissa wakisubiri kuchangia damu katika hospitali ya Garissa ambako wengi
waliojeruhiwa wamelazwa.
|
![]() |
|
Picha juu na chini ni Kifaru cha
jeshi la Kenya katika barabara kuelekea chuo cha Garissa, Garissa, Kenya, April
2, 2015.
|
![]() |
|
Wanafunzi
wakikusanyika nje ya chuo kikuu cha Garissa kufuatia shambulio la watu wenye
silaha, April 2, 2015 ambapo Kundi la al Shabab limedai kuhusika na shambulio
hilo.
|
















No comments:
Post a Comment