Mabingwa
Watetezi wa Ligi kuu soka Vodacom Tanzania bara, Azam FC hapo Jana April 25,
2015 wameendeleza matumaini yao finyu ya
kutetea Taji lao la Ligi Kuu Vodacom msimu huu 2014/2015 baada ya kuitwanga
Stand United Bao 4-0 na Simba SC nao wanaendelea kuifukuza Azam FC ili kuipiku
Nafasi ya Pili baada ya kuichapa Ndanda FC 3 - 0 huku Mbeya City ikijizatiti
kwa kuiwasha Kagera Sugar 2-0.
Kwa matokeo hayo ya mechi za jana Jumamosi April 25,2015, Azam FC kwa
ushindi huo inafikisha pointi 45 baada ya kucheza mechi 23, ikiwa nyuma ya
Yanga SC yenye pointi 52 za mechi 23 na mbele ya Simba SC yenye pointi 41 za
mechi 24.
LIGI KUU
VODACOM 2014/2015 RATIBA.
Jumapili
Aprili 26,2015.
Mtibwa Sugar
v Ruvu JKT
Tanzania
Prisons v Mgambo JKT
Jumatatu
Aprili 27,2015.
Yanga v
Polisi Moro
Pata
Picha, Habari za Kisiasa, Kijamii, Kiuchumi na Michezo kila stori
inayonifikia wakati wowote ukijiunga na mimi kwa kubonyeza…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
|
Sunday, April 26, 2015
Home
MICHEZO
LIGI KUU VODACOM 2014/2015:-Hiki ndicho Azam FC,Simba SC na Mbeya City walichokivuna katika mechi zao za April 25, 2015.!
LIGI KUU VODACOM 2014/2015:-Hiki ndicho Azam FC,Simba SC na Mbeya City walichokivuna katika mechi zao za April 25, 2015.!
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment