![]() |
|
“Hivyo tume haitaweza kuendelea na
zoezi la upigaji kura ya maoni na zoezi hilo lililotangazwa hapo awali
kufanyika Aprili 30, 2015 limeahirishwa hadi tarehe itakapotangazwa na NEC
baada ya kushauriana na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar,” alisema Jaji Lubuva.
Kwa nyakati
tofauti, vyama vya siasa, asasi za kiraia, taasisi za kidini na wananchi
wamekuwa wakiishauri NEC kuahirisha Kura ya Maoni huku vyama vya siasa
vikimtaka Rais Jakaya Kikwete atii makubaliano yaliyofikiwa na Kituo cha
Demokrasia (TCD) mwaka jana 2014 ya kuahirisha zoezi hilo hadi baada ya
Uchaguzi mkuu wa October 2015.
Jaji Lubuva
alisema kuwa tume yake inaendelea kuboresha daftari la wapiga kura nchi nzima
ambapo wanatarajia kukamilisha ifikapo Julai mwaka huu. Nec ilieleza kuwa baada
ya kumaliza uandikishaji mkoani Njombe watahamia mikoa ya Ruvuma, Lindi, Mtwara
na Iringa.
Pata
Picha, Habari za Kisiasa, Kijamii, Kiuchumi na Michezo kila tukio/stori
inayonifikia wakati wowote ukijiunga na mimi kwa kubonyeza…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
|
Friday, April 03, 2015
Home
SIASA
KATIBA MPYA TANZANIA:-NEC yaahirisha zoezi la upigaji kura ya maoni Aprili 30,2015 sasa Uboreshaji daftari kukamilika Julai.
KATIBA MPYA TANZANIA:-NEC yaahirisha zoezi la upigaji kura ya maoni Aprili 30,2015 sasa Uboreshaji daftari kukamilika Julai.
Tags
# SIASA
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
SIASA
Labels:
SIASA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.







No comments:
Post a Comment