![]() |
|
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein (wa pili kulia) na viongozi wengine wakiitikia
dua iliyoombwa na Mufti wa Zanzibar, Shehe Saleh Omar Kabi (kulia) baada ya
kisomo cha hitma, iliyosomwa jana katika ukumbi wa Ofisi ya CCM Kisiwandui
mjini Unguja. (Picha na Ikulu). April 07 ya kila Mwaka ni siku ya kumkumbuka mwasisi wa Taifa la Zanzibar na Mapinduzi matukufu yaliyorejesha heshima na utu wa Mwafrika, Shehe Abeid Amaan Karume. Karume aliuawa Zanzibar na wapinga mapinduzi Aprili 7, 1972 ikiwa ni miaka 43 sasa tangu kutokea kwa tukio hilo la kusikitisha. Wakati huo kiongozi huyo alikuwa ni Rais wa Zanzibar na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.BOFYA HAPA ZAIDI KUSOMA |
Pata
Picha, Habari za Kisiasa, Kijamii, Kiuchumi na Michezo kila stori inayonifikia wakati wowote ukijiunga na mimi kwa kubonyeza…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia
tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.







No comments:
Post a Comment