![]() |
|
Sherman
amefuta mkosi kwa kutoa pasi za mabao matatu na kufunga bao moja.
Nao Azam FC,
wakiwa kwao Azam Complex huko Chamazi kwenye Viunga vya Jiji la Dar es Salaam,
walipiga mkenge baada ya kutoka Sare ya Bao 1-1 na Mbeya City inayopigana
kujinusuru kutokumbwa na balaa la kushuka Daraja.
Azam FC
walitangulia kufunga kwa Bao la Kipre Balou Dakika ya 61 lakini Dakika 4 baadae
Mbeya City walisawazisha kwa Penati ya Raphael Alpha.
Matokeo ya
Leo yamewafanya Yanga SC wawe juu zaidi kileleni wakiwa na Pointi 43 kwa Mechi 20
na Azam FC wakibaki Nafasi ya Pili wakiwa na Pointi 37 kwa Mechi
19.
Pata
Picha, Habari za Kisiasa, Kijamii, Kiuchumi na Michezo kila stori inayonifikia wakati wowote ukijiunga na mimi kwa kubonyeza…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia
tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
|
Wednesday, April 08, 2015
Home
MICHEZO
LIGI KUU TANZANIA 2014/2015:-Mabingwa watetezi, Azam FC wamekwaa kisiki nyumbani huku Amisi Tambwe amepiga ‘hat trick’ Yanga SC ikishinda 8-0 Taifa.
LIGI KUU TANZANIA 2014/2015:-Mabingwa watetezi, Azam FC wamekwaa kisiki nyumbani huku Amisi Tambwe amepiga ‘hat trick’ Yanga SC ikishinda 8-0 Taifa.
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.








No comments:
Post a Comment