![]() |
|
Hadi
Mapumziko Atletico Madrid walikuwa mbele kwa Bao 2-0 zilizofungwa na Tiago
Mendes Dakika ya 14 na Saul Niguez Dakika ya 18.
Atletico
waliongeza Bao la 3 Dakika ya 67 kupitia Griezmann na Mario Mandzukic
kuhitimisha kwa Bao la 4 katika Dakika ya 90.
LA LIGA
2014/2015 RATIBA/MATOKEO.
**Saa za
Bongo
Jumatano
Februari 4,2015.
Real Madrid
CF 2 Sevilla FC 1
Ijumaa
Februari 6,2015.
Deportivo La
Coruna 2 SD Eibar 0
Jumamosi
Februari 7,2015.
Atletico de
Madrid 4 – 0 Real Madrid CF
2000
Villarreal CF v Granada CF
2200 Levante
v Malaga CF
0001 Real
Sociedad v Celta de Vigo
Jumapili
Februari 8,2015.
1400 Cordoba
CF v UD Almeria
1900 Getafe
CF v Sevilla FC
2100 RCD
Espanyol v Valencia C.F
2300
Athletic Bilbao v Barcelona
LIGI KUU
UJERUMANI 2014/2015:-Borussia Dortmund Leo hii Februari 07,2015 wamejichomoa
toka mkiani mwa Bundesliga baada ya kuichapa Freiburg Bao 3-0 Ugenini.
Ushindi huu
umeifanya Dortmund ipande hadi Nafasi ya 16 wakiwa Nafasi ya 3 toka mkiani.
Bao za
Dortmund hii Leo zilifungwa na Marco Reus na mbili za Mchezaji kutoka Gabon
Pierre‑Emerick Aubameyang.
Nao Mabingwa
Watetezi na Vinara wa Bundesliga, Bayern Munich, baada ya kuanza kwa kusuasua
kwenye Ligi kwa kuchapwa 4-1 na Wolfsburg na kutoka Sare 1-1 na Schalke, Leo
hii wamezinduka na kushinda Ugenini walipoichapa Stuttgart Bao 2-0 kwa Bao za
Arjen Robben na David Alaba.
Ushindi huu
umewafanya Bayern waongoze Bundesliga wakiwa Pointi 8 mbele ya Wolfsburg ambao
nao walishinda Bao 3-0 walipocheza na Hoffenheim.
BUNDESLIGA 2014/2015 RATIBA\MATOKEO.
**Saa za
Bongo
Jumamosi
Februari 07,2015.
Mainz 0
- 2 Hertha Berlin
Wolfsburg 3
- 0 Hoffenheim
Freiburg 0
- 3 Borussia Dortmund
Stuttgart 0
- 2 Bayern Munich
FC Cologne 0
- 0 SC Padeborn
Hamburger 2 - 1 Hannover 96
UNGANANASI KATIKA FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
|
Saturday, February 07, 2015
Home
MICHEZO
SOKA LETU ULAYA:-Picha na Matokeo ya mechi za leo Jumamosi Februari 07,2015 Arsenal,Real Madrid wakipoteza Pointi Muhimu.
SOKA LETU ULAYA:-Picha na Matokeo ya mechi za leo Jumamosi Februari 07,2015 Arsenal,Real Madrid wakipoteza Pointi Muhimu.
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.












No comments:
Post a Comment