Watu Zaidi
ya 60 wamenusurika kupoteza Maisha wilayani Kibondo mkoani Kigoma baada ya basi walilokuwa wakisafiria kutoka Mwanza kwenda mkoani Kigoma,kupinduka baada ya kugongwa na gari la mchanga lililoingia barabara kuu gafla,kutokana
na kufeli mfumo wake wa breki.
Radio Kwizera
imeshuhudia Basi hilo la kampuni ya Adventure lenye namba za usajiri T 133 AGD (
Pichani ) likiwa limepinduka majira ya saa nane mchana huku abiria Zaidi ya 60 wakiwa wanaokolewa na
kukimbizwa hospitalini kwa kutumia magari ya halmashauri ya wilaya ya Kibondo.
Baadhi ya
mashuhuda wamesema kuwa gari aina ya Lori tipa lenye namba za usajiri T 420 CPQ
lilifeli mfumo wa break na lilikuwa likiteremka kuingia barabara kuu ndipo
likagongana na basi kisha kugeuka na kuangalia liliko toka huku basi
likipinduka baada ya kugonga ukingo wa barabara
Source:-Radio
Kwizera.
UNGANA NASI KATIKA FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
|
Tuesday, February 24, 2015
Home
MATUKIO
AJALI:-Picha Jinsi basi la Adventure likipinduka baada ya Kugongwa na Lori la Mchanga Leo Februari 24,2015 wilayani Kibondo na Watu 60 Kunusurika Maisha.
AJALI:-Picha Jinsi basi la Adventure likipinduka baada ya Kugongwa na Lori la Mchanga Leo Februari 24,2015 wilayani Kibondo na Watu 60 Kunusurika Maisha.
Tags
# MATUKIO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MATUKIO
Labels:
MATUKIO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment