USALAMA BARABARANI:- Picha wakati zoezi la Kupima Ulevi na Kutotumia Simu kwa Madereva wa Mabasi mkoani Singida. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Friday, January 02, 2015

USALAMA BARABARANI:- Picha wakati zoezi la Kupima Ulevi na Kutotumia Simu kwa Madereva wa Mabasi mkoani Singida.

PC.Abdalah  Ramadhani kutoka trafiki makao makuu Dar-es-salaam,akitumia chombo maalum kupimia madereva wa mabasi endapo wametumia kilevi wakati zoezi la kampeni ya"Wait to Send" lililofanyika katika kituo cha mabasi cha Misuna Singida mjini inayohamasisha madereva kutokutumia simu zao wakiwa wanatumia vyombo vya moto,Kampeni hiyo imedhaminiwa na Vodacom Tanzania.




Mrakibu msaidizi wa Jeshi la polisi (ACP) mkuu wa  kitengo cha elimu kwa umma makao makuu ya usalama barabarani jijini Dar-es-salaam,Abel Swai,akiwahamasisha abiria wa basi la kampuni ya France line lililokuwa likitokea Dodoma kwenda Arusha  kutoa taarifa kwa jeshi la polisi endapo watagundua dereva mlevi au akiendesha gari vibaya,ili hatua za haraka ziweze kuchukuliwa ikiwa ni mwendelezo wa kampeni ya"Wait to send"inayohamasisha madereva kutokutumia simu zao wakiwa wanatumia vyombo vya moto,Kampeni hiyo imedhaminiwa na Vodacom Tanzania.ZAIDI BOFYA HAPA KUSOMA/KUTAZAMA ZOEZI HILO
UNGANANASI KATIKA  FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad