FA CUP 2014/2015:-Hii ndio Droo ya raundi ya 4 , Isome timu yako inakutana na nani..?? - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Tuesday, January 06, 2015

FA CUP 2014/2015:-Hii ndio Droo ya raundi ya 4 , Isome timu yako inakutana na nani..??

Droo ya kupanga Mechi za Raundi ya 4 ya FA CUP imefanyika Usiku wa Jana January 05,2015 na Cambridge United, ambayo ndio ipo Daraja la chini kabisa, watakuwa Wenyeji wa Manchester United.

 Timu ya Cambridge United, ambao waliwahi kufika Robo Fainali ya FA CUP mara mbili Miaka ya 1990 na 1991, wapo Nafasi ya 14 katika Ligi la Daraja la chini, Ligi 2.

Mabingwa Watetezi, Arsenal, watakuwa Ugenini kucheza na Brighton & Hove Albion ambayo ipo Daraja la chini ya Ligi Kuu England, Championship.

DROO KAMILI  FA CUP 2014/2015.

** Mechi za Raundi ya 4 zitachezwa Januari 24 na 25,2015.

Cambridge United v Manchester United

Chelsea v Millwall/Bradford City

Southampton/Ipswich v Crystal Palace

Blackburn Rovers v Swansea City

Derby v Scunthorpe/Chesterfield

Preston North End v Sheffield United

Birmingham City v West Bromwich Albion

Aston Villa v Bournemouth

Cardiff City v Reading

AFC Wimbledon/Liverpool v Bolton Wanderers

Burnley/Tottenham Hotspur v Leicester City

Brighton & Hove Albion v Arsenal

Rochdale v Stoke City

Sunderland v Fulham/Wolves

Doncaster/Bristol City v Everton/West Ham

Manchester City v Middlesbrough

TAREHE ZA RAUNDI.

-Raundi ya 4: 24 Januari 2015

-Raundi ya 5: 14 Februari 2015

-Raundi ya 6: 7 Machi 2015

-Nusu Fainali: 18 & 19 Aprili 2015

-Fainali: 30 Mei 2015
 UNGANANASI KATIKA  FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad