Mfanyakazi
huyo Jolly Tumuhirwe (22) aliiambia mahakama kuwa anajutia kile alichokifanya
na anaomba msamaha kwa familia na jamii nzima. Amehukumiwa
kwa kosa la kumtesa mtoto Arnella mwenye miezi 18.
|
UNGANANASI
KATIKA FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
No comments:
Post a Comment