PICHA YETU YA LEO:-Ni Heka heka za Magari mjini Ngara mkoani Kagera. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Saturday, December 27, 2014

PICHA YETU YA LEO:-Ni Heka heka za Magari mjini Ngara mkoani Kagera.

.......hahahaha waweza sema … mbona kichekesho?  Na kuhisi kama vile limezama kwenye tope.....Hapo ni Muruvyagira Sekondari ikwenye Ujenzi wa Maabara.

 Kwa mujibu wa Diwani wa Kata ya Kabanga Soud Saidr kupitia akaunti yake ya Facebook aliandika’’- kwa sie tuliokuwa karibu na hilo roli tuliona tayari ni ajali lakini Mawe yote yaliteremshwa na gari likarudi chini katika hali ya Usalama’’.

UNGANANASI KATIKA  FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad