MABORESHO YANGA SC:-Pluijm rasmi , Jerry Muro awa Afisa Habari. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Friday, December 19, 2014

MABORESHO YANGA SC:-Pluijm rasmi , Jerry Muro awa Afisa Habari.

Kuanza kazi kwa makocha hao kunahalalisha kutimuliwa kwa makocha Wabrazil ambao ni Marcio Maximo na Leonado Neiva.

 Taarifa iliyotolewa leo Desemba 19,2014 ni kwamba Klabu ya Yanga ya jijini Dar es Salaam imemtangaza rasmi Kocha Hans van Pluijm kuwa kocha mkuu wa timu hiyo akisaidiwa na Boniface Mkwasa kama kocha msaidizi .

Kuanza kazi kwa makocha hao kunahalalisha kutimuliwa kwa makocha Wabrazil ambao ni Marcio Maximo na Leonado Neiva.

Aidha Taarifa za ndani ya kikao hicho zimeeleza kuwa Yanga imeamua kutangaza pia viongozi wapya kwa lengo la kuziba nafasi zilizokuwa wazi na kuimarisha maeneo yaliyokuwa yanasuasua.

Baadhi ya viongozi waliojiunga na timu hiyo ni Dr Jonas Tiboroha nafasi ya Katibu Mkuu, Jerry Muro Afisa Habari, Omari Kaya afisa Masoko, Frank Chacha mwanasheria na Baraka Deusdedit anakuwa mkuu wa Idara ya Fedha.
UNGANANASI KATIKA  FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad