Baadhi ya Watu wakishuhudia mabaki ya helikopta hiyo iliyopata ajali
maeneo ya Kipunguni B Moshi Bar,Ilala jijini Dar es Salaam leo November 29,2014.
|
Baadhi ya
Wataalamu wakifanya uchunguzi wa chanzo cha ajali hiyo ya Helikopta.
|
Mkuu wa Mkoa wa
Dar Es Salaa,Mh.Sadick Meck Sadick akizungumza mbele ya Vyombo vya habari
katika eneo la ajali, kufuatia kutokea kwa ajali hiyo iliyopelekea vifo vya
watu wanne.
|
No comments:
Post a Comment