AJALI:-Taswira ya Picha 2 za jali ya Lori lililoanguka Leo November 19,2014 mpakani mwa Ngara na Biharamulo mkoani Kagera. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Wednesday, November 19, 2014

AJALI:-Taswira ya Picha 2 za jali ya Lori lililoanguka Leo November 19,2014 mpakani mwa Ngara na Biharamulo mkoani Kagera.

Ajali hii imelihusisha Lori la Mizigo lilokua limebeba mzigo wa magunia ya parachichi kutoka mjini Ngara  na kupata ajali eneo la mteremko wa Nyabugombe unaounganisha wilaya ya Ngara na Biharamulo mkoani Kagera leo November 19, 2014.


Kwa mujibu wa mashuhuda wanasema kuwa hakuna mtu yeyeto aliyepoteza maisha na kwamba huenda ajali hiyo imesababishwa na mwendo kasi na kufeli kwa mfumo wa breki.Picha zote na Mwana wa Makonda Blog +255789925630.


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad