![]() |
Mwenyekiti
wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe akiwahutubia
wananchi wa kijiji cha Buhingwe katika mkutano wa hadhara wa Operesheni Delete
CCM, uliofanyika November 12,2014.
|
![]() |
Pichani ni Mwenyekiti
wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), akiwahutubia wananchi wa Kasulu
katika mkutano wa hadhara wa Oparesheni Delete CCM, uliofanyika November 12,2014.
|
No comments:
Post a Comment