UEFA 2014/2015:-Tazama motokeo ya Mechi kati ya Paris St-Germain wakiikung’uta FC Barcelona pamoja na Ushindi wa Chelsea Septemba 30,2014. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Wednesday, October 01, 2014

UEFA 2014/2015:-Tazama motokeo ya Mechi kati ya Paris St-Germain wakiikung’uta FC Barcelona pamoja na Ushindi wa Chelsea Septemba 30,2014.


Penati ya Dakika ya 22 iliyopatika baada ya Mario Gotze kuangushwa ndani ya Boksi na Fernandez na Thomas Muller kufunga, imewapa Bayern Munich ushindi wa Bao 1-0 Ugenini huko Moscow Urusi Katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya 2014/2015 iliyochezwa Mapema Septemba 30,2014.

 Hii ni Mechi ya Pili ya Kundi E baada ya Bayern kuichapa Man City Bao 1-0 huko Munich.
Kwenye Mechi ya Kundi G la UEFA  iliyochezwa huko Ureno Usiku huu, Jose Mourinho alirudi Nchini kwao na kuiongoza Chelsea kushinda Bao 1-0 walipocheza na Sporting Lisbon.

Bao la Chelsea lilifungwa Dakika ya 34 kwa Kichwa cha Matic ambae ni Mchezaji wa zamani wa Benfica, Mahasimu wa Sporting Lisbon huko Ureno.

MATOKEO.


Jumanne Septemba 30,2014.

KUNDI E

CSKA Moscow 0 – 1 Bayern Munich

Man City 1 – 1 AS  Roma

KUNDI F

APOEL Nicosia 1 – 1  Ajax

Paris St-Germain 3 – 2 FC Barcelona

KUNDI G 

FC Schalke 04 1 – 1  NK Maribor

Sporting Lisbon 0 – 1  Chelsea

KUNDI H 

BATE Borisovs  2 – 1  Athletic Bilbao

Shakhtar Donetsk 2 – 2  FC Porto

Wakicheza kwao Etihad kwenye Mechi ya Kundi E la UEFA, Mabingwa wa Uingereza,  Manchester City, ambao walifungwa Mechi yao ya kwanza 1-0 huko Germany na Bayern Munich, Usiku huu wametoka Sare Bao 1-1 na AS Roma ya Italy.


Hadi Mapumziko Bao zilikuwa 1-1 kwa City kuongoza Dakika ya 4 tu kwa Penati baada ya Maicon kumwangusha Sergio Aguero na yeye mwenyewe kufunga Penati hiyo lakini katika Dakika ya 23 Francesco Totti, Mkongwe wa Miaka 38, aliisawazishia AS Roma kwa Bao murua.

RATIBA MECHI ZIJAZO.


**Mechi zote kuanza Saa 2145, Bongo Taimu, isipokuwa inapotajwa

Jumatano Oktoba 1,2014.

KUNDI A

Atlético Madrid VS Juvsentus

Malmö FF VS Olympiakos

KUNDI B 

FC Basel VS Livserpool

Ludogorets Razgrad VS Real Madrid

KUNDI C 

1900 Zenit St Petersburg VS Monaco

Bayer 04 Levserkusen VS Benfica

KUNDI D 

Arsenal VS Galatasaray

RSC Anderlecht VS Borussia Dortmund  
Karibu kwenye familia ya Makonda Blog na uzipokee Picha/Habari zote kwa kutumiwa Mchana /Usiku baada tu ya kujiunga kwa kubonyeza hapa mtu wangu >>>BONYEZA HAPA.>>>Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.

As It Stands Table UEFA 2014/2015.

Group A


Position Team Played Goal Difference Points
No movement 1 Juventus 1 2 3
No movement 2 Olympiakos 1 1 3
No movement 3 Atl Madrid 1 -1 0
No movement 4 Malmö FF 1 -2 0

Group B


Position Team Played Goal Difference Points
No movement 1 Real Madrid 1 4 3
No movement 2 Liverpool 1 1 3
No movement 3 Ludo Razgd 1 -1 0
No movement 4 FC Basel 1 -4 0

Group C


Position Team Played Goal Difference Points
No movement 1 Zenit St P 1 2 3
No movement 2 Monaco 1 1 3
No movement 3 Bayer Levkn 1 -1 0
No movement 4 Benfica 1 -2 0

Group D


Position Team Played Goal Difference Points
No movement 1 Bor Dortmd 1 2 3
No movement 2 Anderlecht 1 0 1
No movement 3 Galatasaray 1 0 1
No movement 4 Arsenal 1 -2 0

Group E


Position Team Played Goal Difference Points
Moving up 1 Bayern Mun 2 2 6
Moving down 2 Roma 2 4 4
No movement 3 Man City 2 -1 1
No movement 4 CSKA 2 -5 0

Group F


Position Team Played Goal Difference Points
Moving up 1 Paris St G 2 1 4
Moving down 2 Barcelona 2 0 3
No movement 3 Ajax 2 0 2
No movement 4 Apoel Nic 2 -1 1

Group G


Position Team Played Goal Difference Points
Moving up 1 Chelsea 2 1 4
Moving up 2 NK Maribor 2 0 2
Moving down 3 Schalke 2 0 2
Moving down 4 Sporting 2 -1 1

Group H


Position Team Played Goal Difference Points
No movement 1 FC Porto 2 6 4
Moving up 2 BATE Bor 2 -5 3
No movement 3 Shakt Donsk 2 0 2
Moving down 4 Ath Bilbao 2 -1 1

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad