Mbali na kuwa basi hilo kuonekana kuchoka, pia
abiria wamelilalamikia kuwepo kwa kunguni ndani ya basi hilo ambao huwasumbua
hasa nyakati za usiku.
|
Abiria hao pia wakilalamika kuumwa na wadudu
hao (kunguni) wakati wa safari yao hiyo.
Wasafiri hao wamezitaka mamlaka husika
kuchukua hatua kabla basi hilo halijaleta maafa.
|
(Picha zote na Mdau wa Global WhatsApp 0753 715
779)
|
Karibu
kwenye familia ya Makonda Blog na uzipokee Picha/Habari zote kwa kutumiwa Mchana
/Usiku baada tu ya kujiunga kwa kubonyeza hapa mtu wangu >>>BONYEZA HAPA.>>>Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
No comments:
Post a Comment