POLISI KUWAPIGA WAANDISHI DAR:-Jukwaa la Wahariri Lalaani.’ - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Saturday, September 20, 2014

POLISI KUWAPIGA WAANDISHI DAR:-Jukwaa la Wahariri Lalaani.’


Mwenyekiti wa TEF, Absalom Kibanda (kulia) akizungumza na wanahabari (hawapo pichani).  Kushoto ni Katibu wake, Neville Meena.


Wanahabari wa vyombo mbalimbali waliofika kwenye mkutano huo.

Mhariri wa gazeti la Hoja, Yasini Sadick (kushoto) akiwa na Neville Meena na Absalom Kibanda.

JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) limelaani tukio la Septemba 18,2014, la Polisi kuwapiga waandishi wa habari  waliokuwa wakifuatilia tukio la Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHEDAMA), Freeman Mbowe, aliyefika Makao Makuu ya Jeshi la Polisi kuhojiwa kuhusu madai ya kufanya maandamano nchini.

Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mwenyekiti wa TEF, Abasalom Kibanda, alisema miongoni mwa waandishi waliopigwa, kujeruhiwa na kupoteza mali zao ni Yusuph Badi wa magazeti ya TSN;  Josephat Isango (Free Media) na Shamim Ausi (Gazeti la Hoja) ambapo kuna wengi wengine ambao walipata usumbufu katika tukio hilo.
 UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WhatsApp:- 0789-925-630.
 
 Like ukurasa wetu wa facebook  ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu BONYEZA HAPA

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad