Azam FC imepata ushindi wake
wa pili baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Ruvu Shooting leo
kwenye Uwanja wa Chamazi.
Azam FC ambao walianza ligi
kwa kuitwanga Polisi Moro kwa mabao 3-1, imeshinda mabao hayo mawili leo, yote
yakitupiwa kimiani na Mrundi, Didier Kavumbagu ambaye sasa ana mabao manne.
Matokeo mengine ya Ligi Kuu Vodacom
2014/2015 ni kama ifuatavyo:-
Azam FC 2 - 0 Ruvu Shooting
Mtibwa Sugar 3 – 1 Ndanda FC
Mbeya City 1 – 0 Coast Union
Mgambo Shooting 0 – 1 Stendi
United
Karibu
kwenye familia ya Makonda Blog na uzipokee Picha/Habari zote kwa kutumiwa Mchana
/Usiku baada tu ya kujiunga kwa kubonyeza hapa mtu wangu >>>BONYEZA HAPA.>>>Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp
+255789925630.

No comments:
Post a Comment