AJALI:-Tazama picha 3 za Lori la Mizigo likianguka barabarabi na Kuziba njia Mkoani Kagera. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Wednesday, September 24, 2014

AJALI:-Tazama picha 3 za Lori la Mizigo likianguka barabarabi na Kuziba njia Mkoani Kagera.

Ajali hii imetokea Jana Septemba 23,2014,Majira ya Jioni katika maeneo ya Nyabugombe wilayani Biharamulo mkoani Kagera , na kulihusisha gari aina ya semi-trailer likiwa limebeba Container lilianguka na kuziba barabara yote na hivyo kuleta Usumbufu kwa Watumiaji wa Barabara hiyo ya Nyakahura - Rusumo.

 Chanzo cha Ajali hiyo inaelezwa ni kufeli kwa mfumo breki na hakuna mtu aliekufa ,zaidi ya mtu mmoja kujeruhiwa.

UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WhatsApp:- 0789-925-630.

 

  Like ukurasa wetu wa facebook  ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu BONYEZA HAPA

Aidha wasafiri na magari mengine yalikaa zaidi ya saa Moja wakitafuta ufumbuzi wa kupita hadi pale Lori lingine lilipolivuta Container ili kulitoa barabarani na kisha kupitika.
Picha Na:-Mwanawamakonda WhatsApp +255789925630!

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad