WAJUA:-Mwanaume aliyefiti zaidi kwa mujibu wa jarida Men’s Health – ni Mwanasoka. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Saturday, August 02, 2014

WAJUA:-Mwanaume aliyefiti zaidi kwa mujibu wa jarida Men’s Health – ni Mwanasoka.


Jarida la masuala ya afya la wanaume la nchini Uingereza kwenye toleo lake jipya limemtaja mwanaume aliyefiti zaidi duniani kutokana na vigezo vyao.
Mwanasoka bora wa dunia na mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid, Cristiano Ronaldo ndio ametajwa na jarida hilo kuwa mwanaume aliyefiti zaidi kimwili na hizi ni baadhi ya sababu kwanini wanaamini CR7 ni mwanaume aliyefiti zaidi….'
  • -Ronaldo anakimbia kwa umbali wa zaidi ya maili 6 kwa mchezo mmoja
  • -Mwili wake una kiasi kidogo cha virutubisho vya mafuta vya fat 
  • -Kwenye mechi moja – hukimbia kwa kasi ya maili 21 kwa saa 1.
  • -Anaweza kupiga shuti ambalo uenda kwa kasi ya 80 mph 
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WhatsApp:- 0789-925-630.
 
Like ukurasa wetu wa facebook  ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu BONYEZA HAPA

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad