UMOJA WA PAMOJA:-Taswira ya Wanapokutana Wanawake basi Jua Hapo Maendeleo Yapo hapo. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Wednesday, August 20, 2014

UMOJA WA PAMOJA:-Taswira ya Wanapokutana Wanawake basi Jua Hapo Maendeleo Yapo hapo.

UWT ilipokutana na Wanachama wao katika kijiji cha Kashasha wilayani Muleba mkoani Kagera,ambapo pamoja na mambo mengine walipewa shilingi milioni Moja katika vikundi vyao 8 vya ujasiriamali kuimarisha mtaji na Katibu taifa UWT Bi.Amina Makilagi.


Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Mwanza,Bi.Helen Bugohe-akiwa kata ya Nyakisasa wilayani Ngara mkoani Kagera wakati wa ziara yao hivi karibuni mkoani Kagera kuhamasisha Maendeleo.


Pia Wanawake walihimizwa kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali pamoja na kujiandikisha kupiga kura ili kuchagua viongozi bora wawatakao wa kuwaletea maendeleo.
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WhatsApp:- 0789-925-630.
 
Like ukurasa wetu wa facebook  ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu BONYEZA HAPA

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad