UTALI WA NDANI:-Hii ndio Taswira ya Milima ,Maporomoko na Mabonde ya wilaya ya Ngara mkoani Kagera. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Friday, August 22, 2014

UTALI WA NDANI:-Hii ndio Taswira ya Milima ,Maporomoko na Mabonde ya wilaya ya Ngara mkoani Kagera.

Unapoingia wilaya ya Ngara mkoani Kagera si kitu cha ajabu kukutana na milima na mabonde ya namna hii huku pia barabara nazo zikikatiza kurahisisha usafiri kwa watumiaji waendako.


Hapa ni Milima ya Nyabugombe inayotenganisha wilaya ya Biharamulo na wilaya ya Ngara mkoani Kagera ambapo pembezoni mwa milima hiyo kuna bonde na imepita barabara ya Lami ya Lusahunga hadi Rusumo.

Haya ni Maporomoko ya kwisumo yaliyopo Kata ya Bugarama wilayani Ngara mkoani Kagera.Picha Na:-Mdau Soud Said-Kabanga.
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WhatsApp:- 0789-925-630.
 
Like ukurasa wetu wa facebook  ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu BONYEZA HAPA

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad