Baadhi ya
watoto wa kike kutoka Mkoa wa Mara wakizungumzia namna walivyonusurika
kufanyiwa vitendo vya kikatili (kukeketwa). Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa
TAMWA, Bi.Valerie Nsoka akiwasikiliza.
|
Baadhi ya
wanafunzi wakitumbuiza katika hafla ya uzinduzi rasmi wa kampeni za kupinga
ndoa za utotoni kwa watoto wa kike.
|
Like ukurasa wetu wa facebook ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu BONYEZA HAPA
No comments:
Post a Comment