BURUDANI:-Hivi ndivyo Ushirikiano wa Marry Paradise na Brayan walivyowafurahisha Wana Ngara siku ya Eid el Fitir-City Life. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Wednesday, July 30, 2014

BURUDANI:-Hivi ndivyo Ushirikiano wa Marry Paradise na Brayan walivyowafurahisha Wana Ngara siku ya Eid el Fitir-City Life.

Ushirikiano wa Marry Paradise na Brayan walivyowafurahisha Wana Ngara siku ya Eid el Fitir ,usiku wa Julai 29,2014 katika ukumbi wa-City Life mjini Ngara ambapo waliwaletea show ya Wasanii wakali wa Bongo Muvi nchini.

Pichani ni utambulisho ukiendelea wa wasanii wa kundi la FIGHTERS MOVIE wakiongozwa na Bad Boy wakiwa jukwaani katika ukumbi wa City Life mjini Ngara.
Bad Boy kushoto na kundi lake la  FIGHTERS MOVIE  wakiwa jukwaani katika ukumbi wa City Life mjini Ngara usiku wa Eid el Fitir Julai 29,2014.
....... Bad Boy ....... jukwaani katika ukumbi wa City Life mjini Ngara........
Wasanii wa kundi la FIGHTERS MOVIE  wakiwa jukwaani katika ukumbi wa City Life mjini Ngara.
Wasanii hawa walifunika kwa kutoa Burudani tosha kwa wana Ngara kama camera yetu ilivyowanasa Jukwaani.
Pichani juu na chini ni Burudani ya akina dada wa  kundi la FIGHTERS MOVIE wakiongozwa na Bad Boy wakiwa jukwaani katika ukumbi wa City Life mjini Ngara kuonesha vipaji vyao.
......Sehemu ya baadhi ya Mashabiki wakifatilia kinachoendelea ukumbini.....
Bad Boy aliekaa chini na wasanii wake wa kundi la FIGHTERS MOVIE wakionesha igizo kama sehemu ya uzinduzi wa Filamu ya Maafa ,jukwaani katika ukumbi wa City Life mjini Ngara,usiku wa Eid el Fitir Julai 29,2014.
Pichani ni Mdau Bi.Marry Paradise mdhamini wa show hiyo alikuwa sehemu ya mashabiki ukumbini humo kufatilia wasanii wa kundi la FIGHTERS MOVIE sambamba na Uibuaji wa Vipaji sambamba na uzinduzi wa Filamu ya Maafa..
...........Dj...akiizindua Filamu ya Maaafa .....
Baada ya Uzinduzi na show mbalimbali kukamilika likaachiwa Disco bab kubwa na Nyomi ya ukumbini akijiachia kwa kila aina ya uchezaji.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad