AJALI TANZANIA:-Soma Tathmini ya ajali za barabarani kuanzia January mpaka June 2014. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Friday, July 18, 2014

AJALI TANZANIA:-Soma Tathmini ya ajali za barabarani kuanzia January mpaka June 2014.


Hivi ndivyo Lori hilo la Mizigo lilivyo umia vibaya baada ya kugonga kirabu cha Pombe na kukisambalatisha usiku wa kuamkia Julai 17,2014 na kusababisha vifo vya watu watano papo hapo huko eneo la Isimila,mkoani Iringa.
Picha Na Maktaba Yetu.



Kamanda wa Polisi Kikosi cha usalama Barabarani Dcp Mohameed Mpinga katoa tathmini ya ajali za Barabarani kuanzia Mwezi Januaary mpaka June ikiwa n i kipindi cha nusu mwaka na hivi ndivyo hali ilivyo.
TATHIMINI YA MATUKIO YA AJALI ZA  BARABARAN JAN-JUNE 2013/2014.

Takwimu zinaonyesha kuwa juhudi zetu zimefanikiwa kwa kupunguza ajali na majeruhi, ingawa kuna ongezeko la watu waliofarika katika ajali kwa Jan – June 2014.

S/N0
JAN-JUNE 2013 JAN –JUNE 2014 ONG/PUNG (%)
1 IDADI YA AJALI 11,311 8,405 -          2,906     (26%)
2 VIFO 1,739 1,743                  4   (0.2%)
3 MAJERUHI 9,889 7,523 -          2,366     (24%)


 MIKOA ILIYOONGOZA KWA AJALI ZA BARABARANI KIPINDI JAN-JUNE 2014:-

i)        Kinondoni   – idadi ya ajali      2,140 (25.5%)
ii)      Ilala              - idadi ya ajali – 1,561 (18.6%)
iii)    Temeke      - idadi ya ajali – 1,351 (16.1%)
iv)    Morogoro     –  idadi ya ajali – 514 (6.1%)
v)      Kilimanjaro – idadi ya ajali – 332 (4%)

Kwa mkoa wa DSM peke yake ni ajali 5,052 ( 60.2%)

MIKOA ILIYOONGOZA KATIKA KUPUNGUZA IDADI YA AJALI ZA BARABARANI KIPINDI JAN-JUNE 2013/2014.


MKOA Jan-June 2013 Jan-June 2014 Punguzo

Kinondoni 3059 2140      919 (30%)

Pwani 738 303      435 (59%)

Arusha 563 164      399 (71%)
4 Kilimanjaro 697 332      365 (52%)
5 Morogoro 631 514      117 (19%)

    TAKWIMU ZA MAKUNDI YALIYOATHIRIKA NA AJALI ZA BARABARANI KIPINDI JAN-JUNE 2013/2014.


     JAN-JUNE 2013 JAN- JUNE 2014      TOFAUTI
KUNDI VIFO MAJERUHI VIFO MAJERUHI VIFO MAJERUHI
MADEREVA 124 725 117 527 -7 -198
ABIRIA 476 4,112 529 3,135 53 -977
W/PIKIPIKI 359 2,460 358 1,928 -1 -532
W/BAISKELI 202 560 177 304 -25 -256
W/MIGUU 550 1,926 548 1,603 -2 -323
W/MIKOKOTENI 28 106 14 26 -14 -80
JUMLA 1,739 9,889 1,743 7,523 4 -2,366

AJALI ZA PIKIPIKI- JAN-JUNE 2013/2014.

 Takwimu zinaonyesha kuwa tumeweza kupunguza ajali, vifo na majeruhi katika ajali za Pikipiki kwa kipindi cha Jan-June 2013 ikilinganishwa na Jan- June 2014.

Jan-June       2013 Jan-June 2014 ONG/PUNG
IDADI YA PIKIPIKIZILIZOHUSIKA 3,720 3,170 -          550 (15%)
IDADI YA AJALI 3016 2402 -          614 (20%)
VIFO 457 423 -          34 (7%)
MAJERUHI 2963 2301 -          662 (22%)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad