Mechi hiyo iliyochezwa Uwanja wa Taifa
jijini Gaborone ni sehemu ya maandalizi ya Taifa Stars kwa ajili ya mechi ya
michuano ya Afrika dhidi ya Msumbiji (Mambas) itakayochezwa Julai 20 mwaka huu
Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro
Premium Lager inatarajiwa kurejea nchini Julai 6 mwaka huu kuendelea na
programu nyingine kwa ajili ya mechi dhidi ya Msumbiji.
No comments:
Post a Comment