![]() |
|
Tukio hilo
imetokea leo June 15, 2014,majira ya Jioni saa 12 katika eneo la Mlima wa
Kumuyange mjini Ngara-Barabara kuu ya Ngara-Lusahunga.
|
![]() |
| Dereva wa Lori hilo la Azam aliokolewa na wananchi wa eneo hilo na kukimbizwa katika hospitali ya Murgwanza kwa matibabu Zaidi. |











No comments:
Post a Comment