![]() |
|
Baada ya kuhama barabara huku ndiko Lori hilo lilikotumbukia pembezoni mwa barabara na hakuna Mtu aliyepoteza kifo au Kujeruhiwa.
|
![]() |
|
Ajali hiyo ilisababisha Kontena kutoka na Lori kubaki peke yake kwa kichwa cha Lori kuinuka juu,Hapa ikionekana baada ya kulikwamua na kuliweka sawa.
|















No comments:
Post a Comment