![]() |
Mwakilishi
wa mchezaji bora msimu wa mwaka 2013/2014 ambaye ni Kipre Tchetche wa @azamfc
akichukua zawadi kwa niaba. #VPL2014 Winner
|
![]() |
Meneja
Uhusiano wa nje wa Vodacom Tanzania akizungumza katika hafla hii. #VPL2014Winners.
|
![]() |
Wadau wa
mpira wakifuatilia hotuba ya Rais wa TFF Jamal Malinzi #VPL2014Winners #VPL2014
|
Azam FC Bingwa
wa #VPL2014 wanapata
kitita cha Tsh 75 Mil na Yanga SC 1935
wanapata Tsh 35 Mil kwa kuibuka washindi wa pili msimu wa mwaka 2013/2014.
Kocha bora
msimu wa 2013/2014 ni Juma Mwambusi wa Mbeya City FC, golkipa bora msimu wa
mwaka 2013/2014 ni Hussein Sharifu wa Mtibwa Sugar anapata zawadi ya Tsh
5,200,000 na tuzo.
Mchezaji
bora msimu wa mwaka 2013/2014 ni Kipre Tchetche wa @azamfc anapata Tsh 5.2M, mfungaji bora
msimu wa mwaka 2013/2014 ni Amisi Tambwe wa @SimbaSC 36
Mwamuzi bora msimu wa 2013/2014 ni Israel
Mjuni ambapo timu yenye nidhamu msimu wa mwaka 2013/2014 ni Yanga SC ambayo imezawadiwa Tsh 16M.
Majina ya
washindi na zawadi zao ni kwa mujibu wa @VodacomTanzania.
No comments:
Post a Comment