![]() |
Miili ya Rachel Haule 'Recho' na mwanaye ikishushwa
kwenye gari maalum baada ya kuwasili Viwanja vya Leaders ikitokea nyumbani
Palestina, Dar es Salaam tayari kwa kuagwa.
|
![]() |
RECHO: Hapa ndipo atakapo anza siku yake ya kwanza
leo (May 29,2014) kwenye makazi yake mapya mbinguni. Shimo dogo ni kaburi ya mtoto wake
aliyefariki muda mfupi baada ya kumzaa!
|
![]() |
RECHO: KUZALIWA
1988 KUFARIKI: 2014. UMRI: 26 yrs.
|
![]() |
KUAMBIANA: Hapa
ndipo yalipo makazi ya milele ya Adam Kuambiana aliyefariki wiki iliyopita, leo ( May 29,2014 )
akitimiza siku ya 13 kwenye makazi yake mapya.
|
![]() |
KUAMBIANA: KUZALIWA: 1976 - KUFARIKI: 2014
UMRI: 38 yrs.
|
![]() |
JOHN MAGANGA: Haya ni makazi ya John Maganga akiwa
leo naye anatimiza mwaka mmoja na miezi 6.
|
![]() |
JOHN: KUZALIWA: 1988 KUFARIKI: 2012 UMRI: 24 yrs.
|
![]() |
MALISA: Haya ni
makazi ya milele ya msanii mwingine Malisa ambaye ameshatimiza mwaka mmoja na
miezi kadhaa tangu atutoke.
|
![]() |
ZUHURA: KUZALIWA:
1974 KUFARIKI: 2013 UMRI: 39 yrs.
|
![]() |
KANUMBA: Haya ni makazi ya milele ya Kanumba ambaye
sasa ana miaka 2 na miezi 2.
|
![]() |
KUZALIWA:
1984 KUFARIKI: 2012 UMRI: 28 yrs.
|
Hakika
vijana wengi hivi sasa wanaondoka duniani mapema mno, wakiwa na umri chini ya
miaka 30 na 40.
Mfano hai ni wasanii maarufu wa Bongo Movie waliokwisha tutoka
ndani ya kipindi cha miaka miwili wakati leo tunamzika Recho, kama
yanavyojionesha makaburi yao, ambao wate wamelazwa sehemu moja ya Makaburi ya
Kinondoni jijini Dar es salaam.
HAKIKA MBELE
YAO, NYUMA YETU. MUNGU AZILAZE ROHO ZAO PEPONI - AMEEN!
(Picha za
makaburi ni za leo-May 29,2014, zimetumwa Global WhatsApp na: Shani Ramadhani na Imelda
Tarimo/GPL)
No comments:
Post a Comment